"BORA KINGA KULIKO TIBA" Unknown 11:17 AM 0 Ni hivi karibuni tu tumekuwa tukisikia huko kwa wenzetu au jirani zetu Kenya kuwa kwa sasa wanakabiliwa na tatizo kubwa la upungufu wa wa ...
Unknown 11:16 AM 0 Hii ni aina moja tu ya kondom za kiume, maarufu kama Salama Kondom, zipo njingine kibao kama vile Dume, family na nyinginezo, pia hata za wa...
Unknown 11:13 AM 0 Kumbe hata strawberry, jamaaniii!? Sasa inabidi watuletee na Aple sasa tutumia kama zawadi kwa tuwapendao. @ jamani ukipewa Aple siumajisi...
KWA MJASI Unknown 7:22 PM 0 Hizi ndizo ofisi za mamantilie almaarufu Wajasi, ambapo pia Mary na Vaileth wana kibanda chao cha kuuzia chakula.
Unknown 7:18 PM 0 Anayepata chakula hapa ndiye kijana wangu, rafiki yangu na mpenda maendeleo ambaye amekuwa akiwashauri sana kina dada hawa mbinu mbalimbali ...
Unknown 7:14 PM 0 Vai akimhudumia moja ya marafiki zangu ambaye nilikuwa naye na ambaye kwa ukweli aliwapa msaada wa kifikra (mawazo) ya kuwatia moyo ili wasi...
Unknown 7:11 PM 0 Hapa Vaileth (kushoto) na Mary kulia tukiwa katika mahojiano, ndani ya ofisi yao maeneo ya collage of Humanities UDOM ambapo ofisi zao ziko ...
HUWA NAIFURAHIA KAZI YANGU. Unknown 4:14 PM 0 Huyu ni Vaileth ambapo anasema anaifurahia kazi yake tu kwa kuwa hana jambo jingine la kufanya, ila angependa kuendelea na masomo.
TUWASAIDIE WENYE UHITAJI Unknown 4:00 PM 0 Huyu ni moja kati ya binti wawili ambao wameamua kujifanyia biashara ya kuuza chakula yaani mamantilie ali maarufu kama (WAJASI) kama wanafu...
JASIRI HAACHI ASILI Unknown 8:59 PM 0 Hili ni moja kati ya makabila machache yalibaki na yenye nguvu duniani, wanaheshimu mila na desturi zao japo kuna baadhi wameshaingia katika...
USIWAZE SANA BROO YATAKWISHA Unknown 6:12 PM 0 Dunia ni msongamano wa tabu nyingi sana zilizochanganyikana na chembechembe ndogo sana za raha, ambazo hazikawii kuyeyuka. Lakini hata hivyo...
Nawapenda sana Watoto Unknown 5:35 PM 0 Hakuna kitu cha thamani na cha kujivuni pale unapokuwa uko na mtoto hasa mwanao halafu awe na afya nzuri mchangamfu na mwenye furaha muda wo...
I WOULD LIKE TO CHANGE THE WORLD Unknown 5:06 PM 0 "We have swallowed all manner of poisonous certainties fed us by our parents, our sunday and day school teachers, our politicians, our ...
I LOVE YOU SISTER. Unknown 1:34 PM 0 Sio ajabu kukuambia kuwa nakupenda sana dada yangu, ni kweli kuwa nakupenda na nitakupenda siku zote, jambo uko mbali nami ila siku zote uko...
Don't be Afraid To Fail Unknown 1:20 PM 0 You've failed may times, although you may not remembe. You fell down the first time you tried to work. You almost drowned the the firs...
RESPECT YOU GUY Unknown 12:33 PM 0 Kwa wale wapenda maendeleo naamini kuwa ukiona sura hii lazima uitambue, ni moja kati ya watu maarufu sana duniani, wenye mchango chanya kwa...
Unknown 12:07 PM 0 Kwa mtindo huu Tanzania tutaendea kidlimu kweli, adhabu za namna hii kweli zinasaidia kurekebisha wanafunzi? Ni changamoto tuliyo nayo, kata...
Unknown 11:45 AM 0 Ni haki yako ya msingi kwa mimi kukupa malezi bora ambayo yatakuwa na wanufaa kwako ili badae uwe mfano bora wa kuigwa. Ronald Bernard