SHE IS MY SISTER


Kama ilivyoamriwa na Mungu katika amri yake kuu, amri ya "upendo" "Enendeni ulimwenguni kote mkieneza upendo kwa watu wote", basi nasi tutende vivyo hivyo ili kudumisha amani na utukufu wa Mungu aliye muumba wa vyote.

Katika picha, huyu mi my sister, a sister from another mother and father, a sister from..... Lakini kutokana na sociological factor, spiritual, heart feeling.... I wanna tell you wat z inside me since I own me include my heart with all its feelings whether soft or rough, my head with its brain and all ideas that come from it, whether good or bad, my eyes will all the ability to see and being interested na ninachokisema ni kile kinachotoka within me, kuwa its real and truth you will and you are a part of me since your my csta.

Pengine ni jambo la kushangaza kidogo ila since we are playing with the art of heart, mind and willing nothing wonder, and toka you asked me nini hasa sababu ya uamuzi kama huu, to be honest my heart feel mwemere and me feel as a new man in an old body.

Pengine tu ningependa kusikia kutoka kwako, what in you na kwanini you accepted my request na what to do ili kuhakikisha whether your or my desire be on all the time.

Realy me love you
n wanna you be part of my family.

Your kind regard
FBK1 p ek ee.

6 comments:

  1. vitabu vimeandikwa ole wenu mtakaotafsiri maandiko matakatifu kama ilivyo andikwa .je, wewe ulivyoitafsiri hio amri yakumi ndivyo alivyokuwa anamaanisha mungu au nawe umo kwenye hao walioambiwa ole wenu? ila si mchezo ur sister is so mwake upo juu dogo au.

    ReplyDelete
  2. vitabu vimeandikwa ole wenu mtakaotafsiri maandiko matakatifu kama ilivyo andikwa .je, wewe ulivyoitafsiri hio amri yakumi ndivyo alivyokuwa anamaanisha mungu au nawe umo kwenye hao walioambiwa ole wenu? ila si mchezo ur sister is so mwake upo juu dogo au.

    ReplyDelete
  3. wemkali my brother coz unatekeleza amri za mungu bas tumisha upendo kwa kila kiumbe na si kwa viumbe wa jinsia moja tu au sio mzazi

    ReplyDelete
  4. Mh! Kaka, unayosema ni kweli ila upendo ni upendo tafsiri yako ni yako, afu kuniambia dada yangu ni mwake unamaanisha nini? Afu wewe acha utani wako huo, tena fumba macho yako hayo.

    ReplyDelete
  5. She is really beautiful and pretty woman. I don't know kiswahili, but I believe that You must be loving people. God bless You both

    ReplyDelete
  6. Thanks very much ZIM, for sure I do love people and my plans are to spread love every where I go, I love love and to be loved too, be bleased too jouh!

    ReplyDelete

Thank for your coment

Powered by Blogger.