Filamu iliyoandaliwa na Invisible Childrenn kuelezea maasi yanayofanywa na waasi wa LRA nchini Uganda

Filamu inayoonesha maisha ya wananchi wa Uganda na vitendo wanavyofanyiwa na kikundi cha waasi acha LRA kinachoongozwa na Joseph Kony

Haya ndiyo maisha ya ndugu zetu, tunauomba umoja wa mataifa kuhakikisha kuwa amani inapatikana kwa wananchi wa Uganda kwa nja yoyote na kuhakikisha kuwa KONY anatafutwa na kufikishwa katika mahakama ya makosa ya kivita ya Umoja wa mataifa

No comments

Thank for your coment

Powered by Blogger.